Friday 13 October 2017

Sheikh Ponda ameripoti Kituo Kikuu cha Polisi leo, asindikizwa na jopo la wanasheria

Image result for SHEIKH PONDA
DAR: Sheikh Ponda aripoti Polisi kama alivyotakiwa kufanya ndani ya siku 3. Aambatana na Wanasheria wakiongozwa na Profesa Safari. 
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum Dar, alimtaka Sheikh Ponda kufika Kituo cha Polisi kwa tuhuma za uchochezi na kuikejeli Serikali. 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!