Monday 9 October 2017

MICHEZO:Nigeria yaiongoza Afrika kuingia Kombe la Dunia


Timu ya Taifa ya Nigeria imekuwa ya kwanza kutoka barani Afrika kufuzu Kombe la Dunia mwakani nchini Urusi baada ya kufanya vyema kwenye michezo yake.
Katika ushiriki wao mara 6 kwenye Kombe la Dunia tangu mwaka 1994, 1998 na 2014 waliishia raundi ya pili, huku mwaka 2002 na 2010 waliishia hatua ya makundi.
Taifa jingine lililojikatia tiketi hiyo mapema ni Costa Rica ikiwa ni mara yao ya tano kushiriki Kombe la Dunia.

Mwananchi.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!