Tuesday 5 September 2017

News Alert: ARUSHA: Watoto wawili kati ya wanne waliokuwa wametekwa wapatikana wakiwa wamekufa


pic+miili.jpg
Wananchi wakishuhudia zoezi la uopoaji wa miili ya watoto wawili

ARUSHA: Watoto 2 kati 4 ya waliotekwa wamepatikana wakiwa wamefariki dunia katika shimo la choo ambalo bado halijaanza kutumika.


- Inadaiwa kuwa mtekaji aliwatumbukiza ndani ya shimo hilo wakiwa hai kabla ya kuondoka na kuelekea Geita ambapo alikamatwa na kusema walipo watoto hao.
Inna lillah wainna illah rajiun.

CHANZO:JMF

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!