
Majambazi wawili wameuawa na Polisi maeneo ya Mikocheni karibu na Feza sekondari, walitaka kuwaibia Wachina.
Kati ya hao majambazi yupo jambazi wa kike na amejisalimisha kwenye mkono wa dola, huyu jambazi ndiye alikuwa dereva wao.
Majambazi wengine bado wanatafutwa.
Taarifa zaidi zinasema askari wamefanya patrol kwa wiki nzima hadi kufanikiwa kuwanasa majambazi hawa.
VIA-JMF
No comments:
Post a Comment