Mahitaji:
Maelekezo:-
1.Washa oven joto 180°c. Katika bakuli changanya vitu vikavu vyote.
1.Washa oven joto 180°c. Katika bakuli changanya vitu vikavu vyote.
2.Tia siagi na maziwa 3/4 kikombe, piga hadi vichanganyike
3. Katika bakuli nyingine piga mayai,maziwa yaliyobaki na vanilla.
5. Taratibu tia katika mchanganyiko wa unga na piga kwa dk 1 kuchanganya .
6. Tia katika chombo cha kuokea, oka kwa muda wa dk 30-35 hadi kijiti ukitia kati kitoke safi.
7. Acha keki ipoe. Keki tayari kwa kula au weza pamba na icing upendayo.














No comments:
Post a Comment