Thursday 21 July 2016

MICHEZO: TOKA KWA MASHABIKI WA TIMU YA SIMBA SPORTS CLUB


Habarini ndugu waandishi wa habari. Tukiwa kama mashabiki wa Simba hatujaridhishwa na hali ya timu yetu ni muda mrefu tunakuwa tunakosa makombe lakini wale viongozi wa Simba hawana lolote wanalofanya bora enzi za uongozi uliopita. Tunaomba mtoe katika vyombo vyenu tunataka Simba iende hatua nyingine. Tulijadiliana tukaona ndugu yetu MO anattaka kununua timu sasa kwanini tumnyime na hali ni mbaya.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!