Wednesday 6 July 2016

Magufuli: Walioanza Kulalamika Hakuna Pesa Mifukoni ni Wale Waliozoea Kupata Pesa za Burebure



Haya ni maneno ya mh Magufuli akiwaasa watanzania wafanye kazi kwa badii ili kuweza kujipatia kipato.



Maneno haya ameyatoa alipohudhururia mualiko maalumu kutoka kwa muft mkuu wa dini ya kiislam Tanzania kwenye baraza la la sikuku ya Eid.

Hizi ni salamu kwa wale wote wanaolalamika kwamba


Magufuli: Tusipofanya kazi hatutapata pesa, ndio maana waliokuwa wanapata za kiujanjajanja wanahaha, tushirikiane kuijenga nchi yetu 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!