March 22 umefanyika Uchaguzi wa kumtafuta Meya wa Jiji la Dar es salaam, ikiwa ni baada ya uchaguzi huo wa kuahirishwa zaidi ya mbili. Uchaguzi huo wa Meya umefanyika kwa usimamizi na ukiudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vyama tofauti.
Baada ushindi haya ndiyo maneno aliyoyasema Meya mpya wa Jiji la Dar es salaamIsaya Charles Mwita>>>’Kiukweli wengine wanaweza kutafsiri kama ni furaha lakini kiukweli furaha hiyo kwangu sioni kama ninayo kutoka na mambo yanayoendelea ndani ya taifa letu‘:- Isaya Charles Mwita Meya wa Jiji la Dar es salaam
‘Lakini kwa upande mwingine tushukuru kuwa uchaguzi umefanyika, demokrasia imechukua nafasi yake, tumshukuru pia Mkuu wa nchi Rais Magufuli ameliongelea hili siku ya jana pia nilitarajia ushindi kwa sababu sisi tuko wengi‘>>>>Isaya Charles Mwita Meya wa Jiji la Dar es salaam
No comments:
Post a Comment