Lady Jaydee ameamua kuvua gamba na kurudi upya kama binti wa miaka 10 iliyopita na kurejesha ladha aliyoanza nayo na iliyompa umalkia, R&B.
Muimbaji huyo mkongwe amefanya uzinduzi wa single yake mpya aliyoipa jina ‘Ndindindi’ Jumamosi hii pale Sky Nightlife, Masaki jijini Dar es Salaam baada ya kuendesha kampeni ya mwezi mzima ya ujio wake mpya, #NaamkaTena.
No comments:
Post a Comment