Sunday 20 March 2016

Picha: Lady Jaydee Arudisha ‘Ubinti’ na ‘Urnb’ Kwenye Wimbo Mpya ‘Ndindindi’


 Lady Jaydee akisaini mkataba na Mkito ambako wimbo wake utapatikana. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni hiyo, Aishi


Lady Jaydee ameamua kuvua gamba na kurudi upya kama binti wa miaka 10 iliyopita na kurejesha ladha aliyoanza nayo na iliyompa umalkia, R&B.
Muimbaji huyo mkongwe amefanya uzinduzi wa single yake mpya aliyoipa jina ‘Ndindindi’ Jumamosi hii pale Sky Nightlife, Masaki jijini Dar es Salaam baada ya kuendesha kampeni ya mwezi mzima ya ujio wake mpya, #NaamkaTena.
Mwakilishi wa Mkito, Aishi akisaini mkataba


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!