Sunday 20 March 2016

ENOCK MANKAYI SONTONGA MTUNZI WA WIMBO WA TAIFA LA TANZANIA, AFRIKA KUSINI & ZAMBIA


Mtunzi wa tuni ya wimbo wa Taifa la Tanzania (pia Afrika Kusini & Zambia) mwaka 1897, Enoch Mankayi Sontonga. Enoch alikuwa raia wa Afrika Kusini toka jamii ya Xhosa.


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!