Tuesday 23 February 2016

RUBANI MZUNGU AMSUKUMA POLISI WA KIKE KENYA

Alistar Llewelyn


Rubani mzungu anayedaiwa kumtukana na kumsukuma polisi wa kike nchini Kenya, amejisalimisha kwa polisi jijini Nairobi. 



Rubani huyo, Alistar Llewelyn anahojiwa na polisi na huenda akafikishwa mahakamani siku ya Jumatano. Rubani huyo wa helikopta alikuwa amekodishwa kumsafirisha Naibu Rais wa Kenya, William Ruto kwenda kwenye mkutano wa kisiasa mwishoni mwa wiki. Tazama video ya tukio lenyewe.
.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!