Wednesday 13 January 2016

RAIS MSTAAFU JAKAYA MRISHO KIKWETE AMJULIA HALI SUMAYE HOSPITALINI


Rais mstaafu Mh: Jakaya Kikwete lalikwenda kumjulia hali Waziri mkuu mstaafu mh, Fredrick sumaye ambaye amelazwa katika Hospitali ya Muhimbili.



Waziri mkuu mstaafu Fredrick Sumaye akisalimiana na mama Salma Kikwete, walipokwenda kumjulia katika hospitali ya Muhimbili,mapema jana jioni.



Rais mstaafu Mh. Jakaya Kikwete akiwa na jopo la madaktari wa moyo katika Taifa ya Muhimbili, mara baada ya kumtembelea  Waziri mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!