skip to main |
skip to sidebar
MATOKEO YA DARASA LA NNE YAMETOKA
Baraza la mitiani NECTA limetangaza Matokeo ya kidato cha 2 kwa wanafunzi waliofanya mtihani mwaka jana ambapo wanafunzi 324,068 sawa na 89% kati ya wanafunzi 363,666 waliofanya mtihani wamefaulu kuendelea na kidato cha tatu. BOFYA HAPA KUTAZAMA MATOKEO
No comments:
Post a Comment