![](https://scontent-arn2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12573974_907243602706649_752768834444790439_n.jpg?oh=05b4cf8e558c5b442019f5b15614fe06&oe=572BA1D0)
Watu wawili wamefariki dunia na wengine 36 kujeruhiwa, kati yao wanne vibaya baàda ya basi walilokuwa wakisafiria kutokea jijini Dar es Salaam kuelekea Morogoro, mali ya kampuni ya BM kuligonga ubavuni lori lililokuwa likija mbele yake na kuangukia kwenye bonde pembeni ya barabara na kupinduka mara nne, katika eneo la Lubungo Mikese, barabara kuu ya Morogoro-Dar es Salaam.
No comments:
Post a Comment