Monday 28 December 2015

SALAD YA KABICHI



Mahitaji

  • Kabichi 1
  • Pilipili hoho 1
  • Karoti 2
  • Vitunguu maji 2



  • Kitunguu saumu 1
  • Limao au ndimu
  • Tangawizi 1
  • Mafuta vijiko 3 (olive oil)
  • Chumvi

Maelekezo

  • Katakata kabichi, pilipili hoho, karoti, kitunguu maji. Twanga kitunguu saumu na tangawizi.
  • Osha kabichi, iweke ichuje maji alafu inyunyizie chumvi.
  • Changanya pilipili hoho, karoti na kitunguu maji kwenye kabichi.
  • Kamulia limao au ndimu.
  • Bandika sufuria, weka mafuta yakipata moto weka kitunguu saumu na tangawizi.
  • Koroga mpaka viive, weka kabichi koroga kwa muda wa dakika 5. Epua halipendezi likiiva sana, hapo ni muda wa kujiramba.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!