
Serikali imetangaza kila jumamosi ya mwisho wa mwezi kuwa siku ya kufanya usafi nchi nzima!
Mh Luhaga Mpina pia amewataka wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa kuhakikisha wanafanikisha jambo hili na kuhakikisha mazingira yanakuwa safi kila siku!
Tunaipongeza serikali kwa juhudi hizi za kuhakikisha miji inakuwa misafi na kutunza mazingira..ni vyema watanzania tukaunga mkono juhudi hizi.!
Chanzo: EATV
No comments:
Post a Comment