LONDON, ENGLAND
MSHAMBULIAJI mpya wa klabu ya Chelsea ya nchini England, Pedro Rodriguez, anatarajiwa kutambulishwa kesho Jumapili katika mechi dhidi ya West Brom, itakayochezwa katika Uwanja wa The Hawthorns.
Chelsea imemsajili mshambuliaji huyo kwa pauni milioni 21.1 na kuipiku Manchester United, iliyokuwa ikimuwania.
No comments:
Post a Comment