Saturday, 22 August 2015

MAGUFULI ARUDISHA FOMU ZA URAIS NEC

Mgombea urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Damiani Lubuva, wakati alipowasili ofisi hizo.


…Akiwa na mgombea mwenza, Samiah Hassan Suluhu.
Viongozi wa CCM waliomsindikiza mgombea wao wa urais.
 Lubuva (kulia) akizungumza jambo wakati wa kurudisha fomu hizo.
Magufuli akionyesha fomu wakati wa kurudisha.
Mgombea urais kupitia CCM Dkt. John Pombe Magufuli akiongea na wanahabari baada ya kurudisha fomu.
Wanahabari wakiwa kazini katika hafla hiyo.
Magufuli akitoka ofisi za NEC baada ya kukamilisha zoezi hilo.
MGOMBEA urais kwa tiketi ya vyama viwili, John Pombe Magufuli, leo amerudisha fomu ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
NEC iliwataka wagombea wote wa urais kupitia vyama vyote vya siasa kurudisha fomu leo Agosti 21 baada ya kuzunguka mikoa ya Tanzania kutafuta wadhamini, ambapo vyama vyote hivyo viwili vimeonekana kukidhi vigezo na kurudisha fomu hizo.
(PICHA: DENIS MTIMA/GPL)

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!