Saturday, 22 August 2015

JUST IN...WAZIRI MSTAAFU FREDRICK SUMAYE ATANGAZA KUJIVUA CCM NA KUJIUNGA NA UKAWA






Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye atangaza rasmi kujivua uanachama wa CCM na kuhamia upinzani(UKAWA)
-Hajaridhika na mchakato wa kumpata mgombea Urais


 Akizungumza na waandishi wa Habari leo  mchana Jijini Dar es salaam ,Sumaye amesema amefikia hatua hiyo baada ya kuchoshwa na uvunjaji wa kununi  ndani  ya  CCM  ikiwemo katika harakati za kumteua mgombea wa Urais kwa upande wa CCM akidai mwenyekiti wa chama hicho Jakaya Kikwete alitumia ubabe katika kuwaingiza watu wake tano bora.

Habari zaidi tutakuletea pindi tutakapozipata Endelea kuwa nasi.......

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!