Sunday, 26 July 2015

WEMA KAKOSA UBUNGE LAKINI APOKELEWA KAMA MALKIA JIJINI DAR

.
.Wema Sepetu alikuwa ni miongoni mwa watu wanaogombea ubunge viti maalumu mkoani Singida lakini hakuwa na bahati ya kushinda au kuingia bungeni kutokana na kura zake kuwa ndogo.


Staa huyo aliibuka na kupata kura za maoni za ubunge 90 huku wagombea wenza wakiongoza kwa kura za maoni, Aysharose Mattembe (311), Martha Mlata ( 235) na Diana Chilolo (182).
..

Japokuwa hakushinda katika kinyang’anyiro hicho Leo July 26 alipata mapokezi makubwa kutoka kwa mashabiki wake, nimekusogezea hizi picha hapa za mapokezi.
.
.
Wema Sepetu akizungumza na mashabiki baada ya kutoka safarini.
.
.
.
.
.
Mashabiki wa Wema Sepetu .
3X6A7369
Ni miongoni mwa michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 mchana kwenye mapokezi hayo .
.
.
3X6A7554
.
.
.

.
.
.
3X6A7652
.
3X6A7584
Mtu wangu hii ni michezo iliyokuwa ikitawala leo July 26 katika mapokezi hayo.
3X6A7662
Wema Sepetu akipiga picha aina ya selfie na mashabiki zake.
3X6A7665
.
3X6A7676
.
3X6A7679
.
3X6A7683
.
3X6A7701
.
3X6A7703
.
3X6A7710
.
3X6A7714
Wema akipiga picha na shabiki.
3X6A7742
.
3X6A7756
.
3X6A7761
.
3X6A7768
Mashabiki.
3X6A7280
.
.
Petiman akipiga picha aina ya selfie na mashabiki.
.
.
Picha kwa hisani ya Millard Ayo.com

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!