Brass Bendi ya Jeshi ikiingia kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja kuanza Maadhimisho.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO
Mnadhimu Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa (JWTZ) , Luteni Jenerali Samweli Ndomba akisalimiana na Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli baada ya kuwasili viwanja vya mnazi mmoja.
Spika wa Baraza la Wawakilishi Pandu Ameir Kificho akiwasili.
Spika wa Bunge la Jamhuri Anne Makinda akiwasili.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ally Idd.
Makamu wa Rais wa Serikali ya Jamhuri, Dkt. Mohamed Gharib Bilal akiwasili.
Rais Jakaya Kikwete akiwasili.
No comments:
Post a Comment