Monday 13 July 2015

JUST IN.....UJAMBAZI DAR: Majambazi warushiana risasi na Polisi Jijini Dar maeneo ya Clock Tower. Watatu watiwa mbaroni.-Walikuwa wameivamia Benki ya Exim

Kuna habari nimezipata kutoka mjini kuwa benki ya Exim clock tower imevamiwa na majambazi, idadi ya majambazi waliotiwa nguvuni ni sita.



No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!