Sunday 12 July 2015

HISTORIA YA SAMIA SULUHU HASSAN WA CCM


Historia ya Samia Suluhu Hassan wa CCM

Chama tawala nchini Tanzania CCM ambayo imekuwa katika kongamano la kitaifa mjini Dodoma ilimchagua bibi huyo mwenye umri wa miaka 54 mchache wa maneno na mwenye asili ya Zanzibar kushirikiana na dakta Magufuli.


Lakini bi Samia Suluhu Hassanni Nani ?
Bi Samia Suluhu Hassan ni mtanzania mwenye asili ya Zanzibar
Kiongozi huyu pia amewahi kushikilia nyadhifa za uwaziri katika Serikali ya Muungano na ya Zanzibar akihudumu kama waziri katika afisi ya makamu wa rais
Ni mwanamke wa Kwanza Mgombea Mwenza
Tangazo hilo limewashangaza wengi kwani Bi Samia Suluhu hakuwa miongoni mwa wagombea wa kiti cha urais.
Tamko la kuwa Bi Samia ni mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi imeweka historia kwa kuwa mgombea mwenza wa kwanza nchini humo ambaye ni mwanamke.
Bi Samia alikamilisha masomo ya shule ya upili mwaka wa 1976 na akaajiriwa kama mchapishaji katika wizara ya mipango na maendeleo ya nchi kazi ambayo aliifanya huku akiendelea na masomo yake hadi alipohitimu katika chuo kikuu cha Manchester.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!