Monday 8 June 2015

JANUARY MAKAMBA ALIPOTANGAZA NIA YA KUGOMBEA URAIS JANA

 MBUNGE wa jimbo la Bumbuli,mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba akizungumza wakati akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais leo katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.


  Baadhi ya wananchi waliojitokeza katika mkutano wa Mbunge wa jimbo la Bumbuli,Mjumbe wa NEC na Naibu Naziri wa wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba wakati akielezea vipaumbele vyake kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam leo.
 Mbunge wa jimbo la Bumbuli,Mjumbe wa NEC na Naibu waziri wa wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba akizungumza na wananchi waliojitokeza kumsikiliza wakati akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais katika  mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam leo.
 Kutoka kulia ni Baba na Mama mzazi waMbunge wa jimbo la Bumbuli,Mjumbe wa NEC na Naibu waziri wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba wakiwamsikiliza January Makamba wakati akitangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais katika mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam leo.
Mbunge wa jimbo la Bumbuli,Mjumbe wa NEC na Naibu Waziri wa wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknologia, January Makamba akisalimiana na wananchi katika mkutano wa kutangaza nia ya kugombea nafasi ya Urais leo jijini Dar es Salaam. (Picha na Avila Kakingo.)

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!