Friday 3 April 2015
WALIOUAWA NA ALSHABAB KATIKA CHUO CHA GARISSA KENYA WAFIKIA 147 SERIKALI YADAI KUWAUA MAGAIDI WOTE
Habari Mpya toka kenya zinaarifu kuwa,Watu 500 wameokolewa huku 147 wakiuawa wakiwemo wapiganaji wote wa kundi la Al shabaab waliokuwa wamevamia.
Kwa mujibu wa kituo cha Televisheni cha K24 cha nchini Kenya, majeshi ya KDF Yakisaidiana na Polisi yamefanikwa kuwaua magaidi wote na kuchukua udhitibi wa chuo hicho.
Mapigano Hayo Yamechukua Masaa 14 Kukamilika.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment