Watu watano wamefariki dunia papo hapo na wengine 15 kujeruhiwa baada ya basi waliokuwa wakisafiria kutoka Dar es Salaam kwenda Shinyanga kupinduka mkoani Morogoro. Kwa taarifa za mwanzo zinasema kuwa watu waliokuwa wamepada basi hilo ni mashabiki wa Simba waliokuwa wanatoka Dar es Salaam wakielekea Shinyanga kwa ajili ya kushabikia timu yao ya Simba katika mecho iliyokuwa inachezwa kesho.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment