Tuesday 17 March 2015

Hii ni leo mikumi morogoro!!! Hivi kwanini ikishatokea ajali moja huwa zinaendelea mfululizo!!!!? Au inawezekana wanakuwa wanawaza ajali zilizopita!!!?






WAKATI HUO HUO AJALI NYINGINE ARUSHA BASI LA PRINCESS MURO LAACHA NJIA BAADA YA TAIRI KUCHOMOKA,BAHATI NZURI HAKUNA ALIYEPOTEZA MAISHA WATU 6 WAJERUHIWA.


No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!