Diamond Platinum akiwa kweny mazishi ya Abdu Bonge Mkoani Morogoro leo.
Diamond Platinum Ameongozana na Mpenzi wake Zari the Big boss kwenye Mazishi ya Aliyekuwa Mwanzilishi wa Kundi la Tip top Marehemu Abdul Bonge Aliyefariki Majuzi na Mwili wake kusafirishwa kwenda Morogoro Tayari kwa Mazishi yanayofanyika Mkuyuni Mkoani Morogoro.
1 comment:
aziz bilal03:27
Namuamini sana Mr Naseeb kwa kuhudhuria shughuli za wasanii wenzake,ni mfano wa kuigwa
Post a Comment