Saturday, 3 January 2015

DIAMOND AFUNGA KAZI RWANDA UMATI WA KUFA MTU KUMSHUHUDIA!!

img_530781a3cStaa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa amebebwa na wacheza shoo wake siku ya mwaka mpya  kwenye uwanja wa Amahoro Kigali, Rwanda na kukonga nyoyo za mashabiki wake waliokuwa wamefurika kwenye uwanja huo ili kumshuhudia mwanamuziki huyo maarufu Afrika na Dunia kwa sasa hebu angalia matukio ya picha wakati wa onyesho holo kubwa na la kukaribisha mwaka 2015


10906340_862102993811516_489874224053741055_n
10888634_862055837149565_7184403002292823290_n

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!