Saturday 6 December 2014

WOLPERA ASHEREHEKEA SIKU YA KUZALIWA KWA KUOTOA MISAADA KWA WAZEE!






Katika kuadhimisha miaka kadhaa tangu kuzaliwa kwake , msanii wa filamu nchini hapa Jacqueline Wolper Massawe ‘Wolper’ ametoa msaada  kwa wazee wasiojiweza wanaoishi katika kituo cha  Msimbazi Centre  jijini Dar, ambacho kiko chini ya kanisa Katoliki.
Kabla ya kutoa msaada huo Wolper alisoma dua nyumbani kwake  na  baadaye kwenda katika kituo hicho na kutoa msaada wa vyakula kama Mchele kg 100, Unga wa sembe kg 50, sukari  kg 100 na mafuta ya kula madumu mawili.












No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!