Wednesday 10 December 2014

BRANDY NORWOOD MWANADADA ALIYETAMBA KWA MISUKO YA RASTA!


Brandy ni mwanadada aliyetamba sana kimuziki miaka ya nyuma, pamoja na kuwa maarufu wa muziki wa RnB alitamba sana pia kwa staili ya pekee ya misuko ya nywele mtindo wa  Rasta.





Akiwa katika style nyingine tofauti na Rasta hivi ndivyo alivyo kwa sasa!!












No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!