Monday 10 November 2014

RUSHWA YA DAMU TANZANIA

Imezoeleka kusikia ulanguzi na ubadhirifu katika bidhaa na shughuli mbalimbali ikiwemo rushwa ya pesa.

Lakini katika eneo la Kaskazini magharibi huko nchini Tanzania hali ni tofauti ambapo baadhi ya wananchi wanalalamika kuuziwa damu ya binadamu kwenye baadhi ya hospitali.
Kwa kawaida damu hairuhusiwi kuuzwa kwa namna yoyote.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!