Wednesday, 15 October 2014

.KALI YA MWAKA KUHUSU MISS TANZANIA 2O14 Nami naileta KAMA NILIVYOIPOKEA...



Miss Tz 2014 ana miaka 18... Ana Masters!!!!
Piga hesabu:
Miaka 7-Primary
Miaka 4-O level
Miaka 2-A level
Mwaka 1-Masters
Miaka 3-1st Degree
Kwa hiyo alianza shule akiwa na mwaka 1...
CHANZO NA SHAFII FB PAGE

Mimi sijui wapi wamekosea,they must have made a mistake somewhere

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!