Wanafunzi wa mzumbe main campus Morogoro wameua mwizi alIyeiba laptop kutoka mabweni mawili tofauti kwa taarifa zaidi zinasema uuaji huo umetokea na hasira kali za wanafunzi hao kuibiwa laptop kila siku na pia mwanzafunzi mwenzao kuvamiwa barabarani na kujeruhiwa na visu siku zilizopita....















1 comment:
aziz bilal03:54
1
Reply
street mob justice when will it end?
Post a Comment