Jeneza la Mzee Small likiombewa.
Safari ya kuelekea makaburini.
Rais Jakaya Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo pembeni (kulia) ni Mahmoud, mtoto wa marehemu.
UMATI wa watu umejitokeza katika kumuaga marehemu Said Ngamba 'Mzee Small' nyumbani kwake Tabata-Kimanga na mazishi kufanyika katika makaburi ya Segerea, jijini Dar es Salaam.
Credit.GP
No comments:
Post a Comment