Friday 20 June 2014

JUST IN: MWIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI DEBORAH JOHN SAID AMEFARIKI DUNIA

Taarifa zilizotufikia katika Chumba cha Habari muda huu zinasema kwamba , Muimbaji wa Nyimbo za Injili Deborah John Said Amefariki Dunia katika Hospitali ya Muhimbili. Endelea kufuatilia hapa kwa taarifa zaidi. Tunatoa pole kwa wote waliopatwa na Msiba huu Mkubwa.
Amen

CRD: Dar-es-Salaam yetu.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!