DIAMOND KUMUINUA MPENZI WAKE SASA KUFANYA FILAMU ZA KIMATAIFA
by @bestizzo "Akizungumza na 225 ya XXL ndani Clouds FM, mpenzi wake na Wema, Diamond Platnumz amesema tayari ameshamfanyia mawasiliano na wasanii wa filamu wa Ghana ili kuhakikisha mwaka huu anafanya filamu ya kimataifa.
No comments:
Post a Comment