
Kundi la kwanza la washindi wa tuzo KTMA alishinda Diamond na wimbo wa My Number One kwenye category ya wimbo bora wa Afro Pop ambapo tuzo ilipokelewa na producer wake Shedy Cleva.

Jinsi Ommy Dimpoz alivyotokelezea kwenye red carpet

Juu na chini ni show ya Mwana F.A alifanya na wamasai

Washereheshaji wa tukio Mpoki na Shadee kutoka Clouds TV

Tuzo ya wimbo bora wenye vionjo vya asili vya Tanzania ilienda kwa kundi la Dar Bongo massive na wimbo wa Bora Mchawi

Tuzo ya msanii bora chipukizi anayeibuka ilienda kwa Young Killer

Tuzo ya wimbo bora wa zouk kwa 2014 imeenda kwa wimbo wa Yahaya na Man Walter alipokea tuzo

Shaffih Dauda na mdau wakifuatilia tukio

Tuzo ya wimbo bora wa reggae imechukuliwa na Niwe na Wewe – Dabo

Tuzo ya wimbo wimbo bora wa Ragga/Dancehall imeenda kwa Chibwa Ft. Juru
CRD: MILLARD AYO.CO
No comments:
Post a Comment