Wasanii 50 wa muziki a Bongo Fleva, Hiphop, Injili, Dance na Taarab wamekuja pamoja na kufanya wimbo wa Kuhamasisha Muungano unaotoka April 26 2014. Sababu ya kufanya wimbo huu ni kuhamasisha Amani na muungano wa Tanganyika Na Zanzibar. Hii ni mara ya kwanza sauti za wasanii 50 zinasikika kwenye wimbo wa dakika 3.
Wednesday, 23 April 2014
PICHA ZA UTENGENEZAJI WA VIDEO YA WIMBO WA KUHAMASISHA MUUNGANO ULIOFANYWA NA WASANII 50 WA TANZANIA
Wasanii 50 wa muziki a Bongo Fleva, Hiphop, Injili, Dance na Taarab wamekuja pamoja na kufanya wimbo wa Kuhamasisha Muungano unaotoka April 26 2014. Sababu ya kufanya wimbo huu ni kuhamasisha Amani na muungano wa Tanganyika Na Zanzibar. Hii ni mara ya kwanza sauti za wasanii 50 zinasikika kwenye wimbo wa dakika 3.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment