Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho wakiongozwa na baba mchungaji
Mkurugenzi wa ITV na Redio One, Joyce Mhavile akitoa heshima za mwisho. Picha ya juu ni mwana jamii.
Waombolezaji wakitoa heshima za mwisho pamoja na wanakwaya wenzake na Marehemu.
Mtoto wa Ufoo, Alvin Mushi akiwa na masikitiko na majonzi makubwa baada ya kuondokewa na Bibi yake. Alvin anadaiwa kulelewa na Bibi na Babu.
Ilikuwa simanzi kubwa kwa Bi Joyce Mhavile boss wa Ufoo Saro.
Waombolezaji wakiwa kanisani hapo. Wapili kulia ni Mkurugenzi wa ITV na Redio One, Joyce Mhavile ambaye wakati wa salamu zake alidai amemwakilisha Ufoo Saro ambaye yupo Hospitali na ameshindwa kuja kumuaga mama yake. Na amefanya hivyo kutokana na ombi la Ufoo.
Waombolezaji...
Rafiki wa siku nyingi wa Ufoo Saro, Julieth Ngalabali kutoka gazeti la Mwananchi akiwa amebebna shada la maua na mwombolezaji mwingine.
Wanahabari waliofika msibani hapo.
Nje ya Kanisa hilo.Picha Zote na Mdau Mroki Mroki
No comments:
Post a Comment