Ametoa kauli hiyo leo mchana (Jumanne, Septemba 10, 2013) wakati akifungua maonyesho ya bidhaa zinazozalishwa na kampuni za Kichina kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee. Maonyesho hayo yanayotarajiwa kufungwa Ijumaa, Septemba 13, mwaka huu, yanahudhuriwa makampuni zaidi ya 200 kutoka majimbo 14 ya China
Wednesday, 11 September 2013
WAZIRI MKUU ATAKA CHINA IJENGE VIWANDA NCHINI, NIA NI KULETA UWIANO WA KIBIASHARA ASEMA PINDA..
Subscribe to:
Post Comments (Atom)













No comments:
Post a Comment