Akisulubiwa kwa bakora na mmoja wa watu wenye hasira.
MTU
mmoja aliyetuhumiwa kuwa ni mwizi amenusurika kufa baada ya kundi la
wananchi kumpa kipigo cha maana, leo mchana katika eneo la
Mbezi-Darajani, Kawe mjini Dar es Salaam. Mtu huyo ambaye jina lake
halikueza kupatikana mara moja inadaiwa alikutwa akiruka geti kuingia
ndani kwenye nyumba ya mkazi moja wa eneo hilo. Picha zifuatazo ni
baadhi ya matukio wakati mtuhumiwa huyo alipokuwa akipata kichapo hicho.
Akisulubiwa kwa bakora na mmoja wa wananchi hao wenye hasira.
Mtuhumiwa
wa wizi akiomba kusamehewa wakati mtu mwenye hasira akijiandaa kumtupia
tofali kichwani ambalo lilimjeruhi vibaya mtuhumiwa huyo
Akiendelea kuslubiwa wakati wakipelekwa polisi.
Mwenye hasira akimsulubu mtuhumiwa huyo kwa kumtandika teke.
Lakini
kutokana na kipigo akaanguka hadi hatua iliyofanya watu hao wenye
hasira kutawanyika eneo la tukio, wakidhani mtuhumiwa amekufa. PICHA
ZOTE NA BASHIR NKOROMO
No comments:
Post a Comment