Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifuatana na Waziri Inagosi Bulo kutoka DRC (kushoto) na Inkhosikati Lambikiza wa Swaziland (kulia) wakiangalia bidhaa mbalimbali zilizotengenezwa kutoka kwenye mnazi kama zilivyokuwa zikionyeshwa na akina mama kwenye banda la WIPE.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akifuatana na ,mke wa Mfalme Mswati wa Swaziland Inkhosikati Lambikiza (kushoto) na Waziri wa Jinsia, watoto na familia wa DR Congo ambaye amemwakilisha mke wa Rais Joseph Kabila Mheshimiwa Inagosi Bulo na mke wa Makamu wa Rais wa Zambia Mama Charlotte Scott wakianza kutembelea mabanda kwenye uwanja wa maonesho wa Mwalimu Nyerere, kwenye barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam tarehe 30.6.2013.
No comments:
Post a Comment