Thursday, 25 July 2013

HUU NI UNYAMA GANI JAMANI? AKATWA MIGUU KISA MKE WA MTU

Damu: Miguu ya Said Iddi ikivuja damu baada ya kukatwa.
Na Mwandishi Wetu, Kilosa

ALI Omar, mkazi wa Kijiji cha Mabana, wilayani Kilosa, Mkoa wa Morogoro anashikiliwa na polisi kwa kosa la kumkata miguu Said  Iddi kwa kumtuhumu kumfumania na mkewe aliyejulikana kwa jina la mama Ali, mkanda mzima upo mikononi mwa Amani.

Tukio hilo limetokea july 15 wakati Bw Said na mama huyo(mama ALI) wakiwa ndani ya nyumba ya Ali iliypo kijijini humo.


MWENYE MKE ATIBUKA NA MAJIBU, AMWAGA DAMU Jibu hilo lilidaiwa

kumtibua Ali na ndipo yeye na baunsa wake wapomfunga kamba miguuni Said

na kuanza kumkata kwa panga mguu mmoja kisha kuugeukia wa pili. Said

 

alipiga mayowe yaliyowafanya wanakijiji kukimbilia eneo la tukio kwa

lengo la kujua kulikoni ambapo walimkuta Said akiwa anavuja damu na


sehemu ya nyuma ya miguu ikiwa nyanganyanga.

 


MWENYE MKE AKIMBIA, ANASWA  Ali, God na

 

baunsa walikimbia eneo hilo. Baadhi ya wanawake walitumia khanga zao

kuifunga miguu ya Said kwa lengo la kujaribu kuzuia damu isiendelee


kumwagika. Said alikuwa akilia sana.Wanakijiji walichukizwa sana

 

na ukatili uliofanywa na Ali, hivyo wakaanza kumsaka na kumkamata


kichakani akiwa amejificha pamoja na God. Alipewa mkongoto kwa lengo la

 

kutaka kumuua, lakini viongozi wa kijiji walisihi asiuawe bali


afikishwe kwenye kituo cha polisi, alisema shuhuda.`


GPL

 



 

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!