Saturday 29 June 2013

NSSF MKOA WA NJOMBE WATOA MISAADA KITUO CHA WATOTO YATIMA UWEMBA.

 

 Hapa ndiko kituo cha Watoto yatima cha Uwemba kilipo na haya ni Majengo ya Misheni ya Uwemba Njombe.

 Sister Agape Mgaya ambaye ni mlezi wa Kituo cha Watoto yatima cha Misheni Uwemba  akitoa maelekezo kwa Msafara wa NSSF Mkoa wa Njombe uliofika kutoa misaada mbalimbali kwa
watoto yatima leo.


 Meneja wa NSSF Mkoa wa Njombe bwan Godwin Mwakalukwa akiwatizama watoto yatima Kituoni hapo leo

 Baadhi ya Vitu vikikabidhiwa na Meneja wa

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!