Hapa ndiko kituo cha Watoto yatima cha Uwemba kilipo na haya ni Majengo ya Misheni ya Uwemba Njombe.
Sister Agape Mgaya ambaye ni mlezi wa Kituo cha Watoto yatima cha Misheni Uwemba akitoa maelekezo kwa Msafara wa NSSF Mkoa wa Njombe uliofika kutoa misaada mbalimbali kwa
watoto yatima leo.
Meneja wa NSSF Mkoa wa Njombe bwan Godwin Mwakalukwa akiwatizama watoto yatima Kituoni hapo leo
Baadhi ya Vitu vikikabidhiwa na Meneja wa
Sister Agape Mgaya ambaye ni mlezi wa Kituo cha Watoto yatima cha Misheni Uwemba akitoa maelekezo kwa Msafara wa NSSF Mkoa wa Njombe uliofika kutoa misaada mbalimbali kwa
watoto yatima leo.
Meneja wa NSSF Mkoa wa Njombe bwan Godwin Mwakalukwa akiwatizama watoto yatima Kituoni hapo leo
Baadhi ya Vitu vikikabidhiwa na Meneja wa
No comments:
Post a Comment