Wednesday, 26 June 2013

KITUO CHA SHERIA NA HAKI ZA BINADAMU LHRC KIMEMTAKA MH PINDA KUOMBA RADHI KUTOKANA NA KAULI ALIYOITOA BUNGENI

Kituo cha sheria na haki za binadamu-LHRC kimemtaka waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda,kuwaomba radhi Watanzania kupitia bunge, kufuatia kauli aliyoitoa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma , akiviamuru vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo jeshi la polisi kuwadhibiti wananchi kwa kuwapiga pale wanapo kaidi amri halali inayotolewa na jeshihilo.

Kituo cha sheria na haki za binadamu-LHRC kimemtaka waziri mkuu Mh. Mizengo Pinda,kuwaomba radhi Watanzania kupitia bunge, kufuatia kauli aliyoitoa hivi karibuni bungeni mjini Dodoma , akiviamuru vyombo vya ulinzi na usalama likiwemo jeshi la polisi kuwadhibiti wananchi kwa kuwapiga pale wanapo kaidi amri halali inayotolewa na jeshihilo.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!