Thursday 27 June 2013

HABARI ZA UMBEYA! MADAM WEMA ALIPOAMKA VIBAYA NA KUZUA TIMBWILI NA WAFANYAKAZI WAKE

Na Siafel Paul

STAA wa filamu za Kibongo asiyekaukiwa vimbwanga, Wema Isaac Sepetu amezua bonge la timbwili kwa wafanyakazi wake wa ndani wa kiume na kike akiwemo mlinzi, Amani linakuletea kisa na mkasa.
Wema Isaac Sepetu akiwa amefura kwa hasira.
Tukio hilo lililonaswa na vifaa vyetu vya kisasa vya kunasia matukio ya mnato na video, lilijiri juzikati nyumbani kwa mwanadada huyo, Kijitonyama, jijini Dar na kusababisha majirani kufaidi sinema ya bure ya matusi ya nguoni.…







CHANZO GPL.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!