![](https://fbcdn-sphotos-f-a.akamaihd.net/hphotos-ak-prn1/549086_10151253923109233_1478192709_n.jpg)
Muda mfupi uliopita djchoka amepokea simu kutoka kwa Producer mkongwe hapa bongo anayejulikana kwa jina la P Funk Majani na kumuuomba aipokee msg hii hapa chini na kuwaomba watanzania walijue hili na baadae atatoa barua rasmi
![](http://4.bp.blogspot.com/-56V-z5lj8nY/UaW1UTdO0bI/AAAAAAAAgtg/iGNCZRuiP5A/s1600/1.jpg)
Na wakati huohuo tunahabarishwa kuwa msanii wa muziki Lady jay dee ameaihirisha show yake kufuatia kifo cha Ngwair
No comments:
Post a Comment