Wednesday 3 April 2013

JUST IN....VURUGU ZATAWALA HUKO KAWE BAADA YA MWANAJESHI KUMUUA DEREVA WA BAJAJI



Jeshi la polisi katika mkoa wa Kipolisi Kinondoni jijini Dar-es-Salaam,limelazimika kutumia mabomu ya machozi kutawanya watu walio kuwa na nia ya kuvamia kituo cha polisi Kawe,baada ya mtu anayedaiwa kuwa askari wa jeshi la wananchi watanzania (JWTZ)kumpiga hadi kufa kijana mwendesha bajaji katika eneo la Kawe jijini Dar-es-Salaam.

No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!