Monday 1 April 2013

MVUA ZA MASIKA NA KARAHA ZAKE

Mvua za masika zinazoendelea kunyesha katika sehemu mbalimbali Tanzania zimeleta usumbufu kwa wakazi kutokana na maji kujaa katika maeneo mengi.
PICHANI(juu) ni mvua katika jiji la Dar

Katika jiji la Arusha hali ni mbaya vilevile,angalia picha zifuatazo





Mawasiliano  ya barabara kati ya wilaya za Monduli na Karatu


mkoani Arusha yamekatika kutokana na daraja la Mto Kirurumo linaounganisha wilaya hizo kufunikwa na mawe na kusababisha maji kukata sehemu kubwa ya barabara hiyo.



No comments:

 

ADVERTISE WITH US

AFRICAN FASHION

PLACE YOUR ADS HERE!